Nafasi za Masomo Mwaka 2024
Shule ya wasichana ursuline inayomilikiwa na masista wa shirika la mtakatifu ursula wa maria imakulata, inapenda kuwatangazia nafasi za kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza kwa mwaka 2024. Shule ipo wilaya ya njombe vijijini kilomita 20 kutoka mjini, kata ya ikuna kijiji cha nyombo, barabara iendayo lupembe Shule ni ya bweni na inamazingira mazuri…